RAYVANNY ACHAGULIWA TUNZO ZA BET AWARD



Mkali kutoka kwenye lebo ya WCB inayomilikiwa na Diamond platnumz amepokea habari njema ya kuwa amechaguliwa kugombea tunzo kubwa za marekani BET AWARD mkali huyo yupo keenye kipengele cha best international viewer's choice


Licha ya nomination hiyo Tanzania imekosa uwakilishi kwenye kipengele cha best Africa act.

Comments

Popular posts from this blog

LEO NAKULETEA HISTORIA YA MAISHA YA MICHAEL JACKSON

LEO KATIKA HISTORIA NAKULETEA MAISHA YA SADDAM HUSSEIN

LEO KATIKA HISTORIA. KIFO CHA RAIS WA ZAMANI WA LIBYA MUAMMAR GADDAFI