Posts

Showing posts from 2017

RAYVANNY ACHAGULIWA TUNZO ZA BET AWARD

Image
Mkali kutoka kwenye lebo ya WCB inayomilikiwa na Diamond platnumz amepokea habari njema ya kuwa amechaguliwa kugombea tunzo kubwa za marekani BET AWARD mkali huyo yupo keenye kipengele cha best international viewer's choice Licha ya nomination hiyo Tanzania imekosa uwakilishi kwenye kipengele cha best Africa act.

WIMBO WA DIAMOND BORA NIKAE KIMYA WALETA MVUTANO MITANDAONI MWENYEWE AFUNGUKA

Image
Wimbo  huo wa diamond umezungumzia mengi ikiwemo kutekwa kwa Roma na maswala ya vyeti na mengine umeonyesha kuleta mvutano mkubwa huku baadhi wakiuponda na wengine kuukubali kwa alichokifanya lakini mwenyewe atoa ufafanuzi kwanini aliamua kuachiwa nyimbo kupitia ukurasa wake wa Instagram alisema  @diamondplatnumz  -  Ili Nchi ipate maendeleo inahitaji Upendo na Ushirikiano wa Wananchi na Serikali..Na Nikiwa kama Msanii, jukumu langu ni kuhakikisha natumia Hekma na busara kukemea jambo nilionalo haliko sawa ili lirekebishwe,  lakini pia panapokuwa hakuna maelewano jukumu langu pia ni kupatanisha ili kwa pamoja tujenge nchi yetu kusudi wazazi wetu, watoto pamoja na familia zetu waishi kwa Upendo Amani na kufurahia nchi yetu...Na ndiomaana kwenye nyimbo nakwambia "MI NA WEWE  WA TAIFA MOJA...KAMBARAGE BABA MMOJA....SASA TOFAUTI ZA NINI TUSHIKAMANE TUKAIJENGE TANZANIA"... Unatakiwa utambue kuwa kila kiongozi ni Binadamu na kama wote tujuavyo, Binadamu ...

ROMA MKATOLIKI NA MWENZAKE MONI WADAIWA KUTEKWA NA WATU WASIOJULIKANA

Image
Tukio hilo limetokea Tongwe record wakitimiza majukumu yao habari zimesibitishwa na mbunge wa mikumi mh.Joseph haule jina maarufu profesa J soma alichoandika @professorjaytz  -  ROMA MKATOLIKI AMEKAMATWA USIKU HUU... Nimestushwa sana kusikia kuwa kuna watu wamevamia studio za TONGWE RECORDS majira ya saa moja usiku na wamemchukua ROMA @roma2030 , MONI  @moni_centrozone na kijana wa Kazi na pia wamechukua COMPUTER ya studio na Screen (Tv) na wameondoka navyo kusikojulikana.. Mpaka sasa hatujui wamewapeleka wapi!!  - Wawili hao walishirikiana kwenye wimbo usimsahau mchizi

LEO KATIKA HISTORIA NAKULETEA SEHEMU YA MWISHO YA MAISHA YA OSAMA BIN LADEN

Image
HISTORIA YA OSAMA BIN LADEN- SEHEMU YA PILI KUANZISHWA KWA AL QAIDA Mwaka 1988 jeshi la Kisovyeti ilianza kuondoka Afghanistan. Viongozi wa mujahedin Waarabu katika Afghanistan waliokuwa Bin Laden na Wamisri kama Aiman az-Zawahiri na Abdullah Azzam walishauriana pamoja namna ganikuendeleza jitihadi zao. Walitofautiana kama kulenga serikali za nchi za Kiarabu zisizokuwa za kidini kama huko Misri au kuhamia Palestina au kupeleka jihadi yao kwenda jamhuri za Kisovyeti za Asia ya Kati kama Tajikistan zilizokaliwa na Waislamu.Mkutano huu ulifanyika katika kambi lililoitwa "al-qaida" kwa kiarabu. Hili lilikuwa baadaye jina kwa kundi lililoongozwa na bin Laden. Sehemu ya mujahidin Waarabu walimfuata bin Ladin katika kushambulia jeshi la serikali la Afghanistan iliyoendelea kujitetea hata baada ya kuondoka kwa Wasovyeti. Mwaka bin Laden alitembelea tena Saudia akashauriana na serikali kuendelea namna gani. Alipopewa jibu heri arudi kwake akatii akarudi pamoja na kikosi chake. Baa...

WEMA SEPETU AJIBU KAULI YA HARMORAPA KUMTAKA KIMAPENZI

Image
Tz sweety heart huyo ameonyesha wazi kukerwa na kitendo hicho cha mkali huyo wa kiboko ya mabishoo akitumia ukurasa wake wa Instagram sepenga alifunguka mengi ikiwemo kumkanya kuendelea na tabia yake hiyo kwani haimpendezi. @wemasepetu__Sijawahi kumchukia yeyote anayehangaika kutafuta riziki yake kwa kuwa nami pia natafuta. Ila mdogo wangu Harmorappa u are getting too much. Pigana na namna utakavyo kupeleka muziki na jina lako juu but get me out of this. Nakuheshimu kama msanii mwenzangu lakini hili la kunadi kunitaka kimapenzi na kuonyesha utayari wa kufanya mambo kadha wa kadhaa kwangu please waambie wengine unaodhani mnawezana ila mimi sio wa aina hiyo. Usiiharibu image yangu niliyoipigania muda wote, usiniharibie heshima yangu ninayoijenga sasa ktk chama changu CHADEMA, usiniharibie kwenye familia yangu, marafiki zangu na usiniharibie kwa niliye nae. Ni utoto na ujinga kuposti kila uchao picha za wanawake eti wanakutaka au unatoka nao *DO U THINK NAMI NI WA AINA HIYO?*...

LEO KATIKA HISTORIA NAKULETEA MAISHA YA OSAMA BIN LADEN SEHEMU YA KWANZA

Image
Osama bin Mohammed bin Awad bin Laden alizaliwa Riyadh huko Saud Arabia katika famila ya ndugu Mohammed bin Awad bin Laden ambaye alikuwa ni tajiri mkubwa sana kwa nyakati hizo utajiri ambao aliupata kwa kazi yake ya ukandarasi, Osama bin Laden alizaliwa 10,march, 1957 kwa Hamida al-Attas alikuwa mke wa kumi katika orodha ya wake za baba yake Mohammed na ambaye alimpa taraka muda mfupi baada ya Osama kuzaliwa, Hivyo watoto aliozaliwa tumbo moja na Osama walikuwa jumla yao wanne akiwepo mwanamke mmoja ambaye ni dada yao. ELIMU Osama amehudhuria shule Al-Thager model school, na baadaye akahudhuria masomo ya Uchumi na biashara katika chuo cha KING ABDULAZIZ. Lakini pia alikuwa na shahada ya ufundi na ya maendeleo ya jamii. Ukweli ni kuwa alikuwa ni mtu aliyekuwa ni mtu mwenye bidii katika kila jambo au kazi, pamoja na hayo yote Osama aliipenda sana dini yake kupindukia kama walivyo waarabu wengine wenye itikadi kali, muda mwingi aliutumia kuichambua quran na kazi za kujitolea. Osama a...

JOH MAKINI AKAMILISHA VIDEO YAKE ALIYOMSHIRIKISHA STAR WA NIGERIA DAVIDO

Image
Star huyo wa Nigeria alikuwa wa kwanza kuthibisha kolabo hiyo kupitia ukurasa wake instagram kabla ya joh makini kuthibisha akitumia kipande cha picha kinachooneka Kama kwenye uchukuaji wa video hiyo davido alisema           Joh makini na Davido wakiwa location Back to work !! On set 📽 shoot @johmakinitz ft            Davido ..... TZ 🇹🇿 x NAIJA 🇳🇬 !!  -

LEO NAKULETEA HISTORIA YA ADOLF HITLER KUZALIWA MPAKA KIFO CHAKE

Image
HISTORIA YA ADOLF HITLER KUZALIWA MPAKA KIFO CHAKE ADOLF HITLER Alikuwa dikteta wa Ujerumani kuanzia mwaka 1933 hadi kifo chake. ADOLF HITLER AKIWA MTOTO  Alizaliwa nchini Austria katika mji wa Braunau am Inn karibu kabisa na mpaka kati ya Ujerumani na Australia 20,april 1889 katika familia ya Alois Hitler na Clara Hitler,Alois Hitler ambaye ni baba yake Hitler [1837-1903] alikuwa ni mtoto haramu wa Maria Anna schicklgruber. mnamo mwaka 1842 Maria Anna aliolewa na Johann George Hiedler, baada ya kifo cha mama yake[1847]na baba yake wa kufikia ambaye ni Johann Hieldler [1856] Alois Hitler aliendelea kukua katika familia ya ndugu wa Johann aliyeitwa [Johann Nepomuk Hiedler. mwaka 1876 alihalalishwa na viongozi wa dini kuwa ni mtoto halali wa Johann Nepomuk Hiedler na akapewa jina jipya la George Hitler ambapo maana ya HITLER ni mtu aliyeishi ndani ya nyumba. Kuhusu baba yake halisi wa George Hitler bado ni kitendawili kwa kuwa inasemekana kuwa mama yake Maria Anna a...

JOHN CENA AMCHUMBIA MPENZI WAKE NIKKI BELLA

Image
Mpiganaji huyo wa wwe alifanya tukio hilo katika ufunguzi wa wrestle mania 33 na kuwaacha mashabiki vinywa wazi john na mpnzi wake huyo walikiwa kwenye uhusiano wa kimapenza kwa miaka 5 kabla ya kufikia uamuzi huo. John cena akimbus mpenzi wake Nikki Bella baada ya kumvisha Pete

NAY WAMITEGO ADAI KUWINDWA NA WATU

Image
Rapa Ney wamitego ametuma ujumbe mzito kwa mashabiki wake nay amefunguka mengi ikiwemo kuwindwa na watu wsiomtakia mema soma alichokiandika kupitia ukurasa wake wa Instagram. Usalama wa Maisha yangu umekua Mdogo kwasasa, Wana panga kunipoteza ikibidi nisiwepo kabisa kwenye hii Dunia. Nipo tayari kwa chochote wanacho panga kufanya Coz sijajipanga kupambana nao, Mimi ni Mwana Muziki si vingine. Kwa chochote kitachotokea Familia yangu itakua na chakuongea. Siwezi kuhama Nchi wala kukimbia nitafia hapa hapa. Na siko tayari kupindisha Chochote.! Nyie Ndo mtanilinda. Sina Mlinzi na sitarajii kua na mlinzi. OnlyGod🙏🏿 #Wapo #Truth  - #regrann

BARAKA DA PRINCE AZICHANA TEAM ZA MITANDAONI

Image
Star huyo bongofleva alijikuta kwenye wakati mgumu baada kuamua kum unfollow mwanamuziki Ally kiba kwa sababu ambazo azikuweza kufahamika akitumia mtandao wake wa instagram Baraka aliandika @barakahtheprince_  -  Pale unatangaza vita na #GAID ukidhani kelele  zako na vijimaneno vyako  kwake ni sheria,na ukajisahau kama uyu ni #GAIDI  mda wowote kinalipuka maana vita kwangu ni sherehe...tusipangiane maisha tafadhali wazee wa mateam.... #ACHA_NIENDE link kwa bio yangu... #crownprince

ZARI NA HAMISA MOBETO BIFU KALI KISA PENZI LA DIAMOND PLATNUMZ

Image
Katika hali ambayo inatafsiliwa Kama ni vita ya chinichini malkia huyo kutoka ya Uganda ambaye pia ni mfanyabiashara alionesha wazi kutopendezwa kabisa kwa kitendo cha kuona picha mitaoni ya Hamisa mobeto akiwa amevalia suruali amabayo ilifanana kabsa na ile ya diamond platnumz aliyoivaa siku kadhaa zilizopia alkitumia ukurasa wake wa instagram malikia huyo alidondosha povu LA kutosha kwenye moja ya page ya udaku.

JIPATIE VIFAA VYA NYUMBANI KWA BEI NAFUU

Image
            Pata sabufa,meza,pasi,tv,ving'amuzi n.k Wahi sasa fika kawe stendi ukwamani au piga simu namba 0718484440

ZLATAN IBRAHIMOVIC KUREJEA KIKOSINI MECHI YA KESHO

Image
Mchezaji huyo raia wa Sweden anarudi uwanjani kuitumikia klabu yake ya Manchester united mala baada ya kumaliza adhabu yake ya kufungiwa mechi tatu kwa kucheza mchezo usio wakiungwana mechi hiyo itazikutanisha Manchester united na Everton

LEO KATIKA HISTORIA NAKULETEA TAJIRI NAMBA MOJA DUNIANI BILL GATES

Image
Bill Gates ni mwanzilishi, mwenyekiti na mbinifu mkuu wa programu za kampuni ya ya Microsoft, kampuni ya programu yenye mafanikio zaidi duniani, inayoaminika kwa utengenezaji wa programu zilizo na nguvu na ubunifu hali zikiwa bado zenye utumizi mwepesi. Microsoft sasa inaajiri zaidi ya watu elfu hamsini na tano katika nchi themanini na tano. William Gates III H anajulikana kama Bill Gates alizaliwa tarehe 28 Oktoba 1955 na kulelewa katika kijiji cha Seattle pamoja na dada zake wawili. Katika umri wake mdogo Bill Gates alivutiwa na utengenezaji wa programu akiwa katika mojawapo wa shule kijijini Seattle. Akiwa huko shuleni Seattle, Bill Gates alikutana na Paul Allen mwanafunzi mwenzake wakawa marafiki. Hapo ndipo wakaanza kutumia tarakilishi ndogo ya shule kujiendeleza ujuzi wao. Waliajiunga na kampuni ya kompyuta malipo yao ikiwa ni kutumia tarakilishi yenye nguvu zaidi. Kazi yao ilikuwa ni kutafuta nukshi katika mitambo ya kompyuta, wakati huohuo waliweza kijifunza lugha mpya za...