BARAKA DA PRINCE AZICHANA TEAM ZA MITANDAONI

Star huyo bongofleva alijikuta kwenye wakati mgumu baada kuamua kum unfollow mwanamuziki Ally kiba kwa sababu ambazo azikuweza kufahamika akitumia mtandao wake wa instagram Baraka aliandika


@barakahtheprince_  -  Pale unatangaza vita na #GAID ukidhani kelele  zako na vijimaneno vyako  kwake ni sheria,na ukajisahau kama uyu ni #GAIDI  mda wowote kinalipuka maana vita kwangu ni sherehe...tusipangiane maisha tafadhali wazee wa mateam.... #ACHA_NIENDE link kwa bio yangu...
#crownprince

Comments

Popular posts from this blog

LEO NAKULETEA HISTORIA YA MAISHA YA MICHAEL JACKSON

LEO KATIKA HISTORIA NAKULETEA MAISHA YA SADDAM HUSSEIN

LEO KATIKA HISTORIA. KIFO CHA RAIS WA ZAMANI WA LIBYA MUAMMAR GADDAFI