ROMA MKATOLIKI NA MWENZAKE MONI WADAIWA KUTEKWA NA WATU WASIOJULIKANA
Tukio hilo limetokea Tongwe record wakitimiza majukumu yao habari zimesibitishwa na mbunge wa mikumi mh.Joseph haule jina maarufu profesa J soma alichoandika
@professorjaytz - ROMA MKATOLIKI AMEKAMATWA USIKU HUU... Nimestushwa sana kusikia kuwa kuna watu wamevamia studio za TONGWE RECORDS majira ya saa moja usiku na wamemchukua ROMA @roma2030 , MONI @moni_centrozone na kijana wa Kazi na pia wamechukua COMPUTER ya studio na Screen (Tv) na wameondoka navyo kusikojulikana..
Mpaka sasa hatujui wamewapeleka wapi!! -
Wawili hao walishirikiana kwenye wimbo usimsahau mchizi
@professorjaytz - ROMA MKATOLIKI AMEKAMATWA USIKU HUU... Nimestushwa sana kusikia kuwa kuna watu wamevamia studio za TONGWE RECORDS majira ya saa moja usiku na wamemchukua ROMA @roma2030 , MONI @moni_centrozone na kijana wa Kazi na pia wamechukua COMPUTER ya studio na Screen (Tv) na wameondoka navyo kusikojulikana..
Mpaka sasa hatujui wamewapeleka wapi!! -
Wawili hao walishirikiana kwenye wimbo usimsahau mchizi
Comments
Post a Comment